ANC yahamasisha umoja baada yakupoteza wingi bungeni, ila yataka kusalia madarakani

Matokeo ya mwisho ya uchaguzi mkuu wa Afrika Kusini yame thibitisha mabadiliko makubwa katika nyanja ya kisiasa ya nchi hiyo.


Kwa mara ya kwanza tangu mwisho wa uongozi kwa misingi ya ubaguzi wa rangi ulio julikana kama apartheid, chama cha African National Congress (ANC) kime poteza wingi wacho bungeni.

Chama cha African National Congress, kime tawala siasa za Afrika Kusini kwa 30 iliyopita, kwa maana ya tangu kilipo ingia madarakani mwisho wa apartheid.

Ila sasa, matokeo ya mwisho ya uchaguzi mkuu wakitaifa yame rejesha matokeo muhimu: chama hicho kimepoteza wingi wacho bungeni, wapiga kura wengi wamekiacha kwa sababu ya kudorora kwa uchumi, viwango vya juu vya ukosefu wa usawa wa mapato, kupotea kwa umeme mara kwa mara pamoja na ufisadi ndani ya chama hicho.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service