Barua ya marekebisho ya katiba yawasilishwa Bungeni DRC

Felix Tshisekedi Tshilombo atangazwa rais mteuli wa DR Congo

Felix Tshisekedi Tshilombo atangazwa rais mteuli wa DR Congo Source: AP

Bunge la DRC limepokea barua ya kukagua muda wa muhula wa rais na mageuzi ya mahakama ya Kongo.


Shirika la kiraia lili wasilisha barua hiyo yenye pendekezo laku badili awamu ya uongozi wa rais kutoka miaka mitano hadi saba.

Baadhi ya wabunge wa chama tawala hivi karibuni walipendekeza mabadiliko ya katiba kwa ajili yaku ongeza muda wa muhula wa rais. Hata hivyo upinzani, mashirika ya kiraia na Kanisa Katoliki lenye ushawishi mkubwa nchini lime pinga pendekezo hilo.


Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Barua ya marekebisho ya katiba yawasilishwa Bungeni DRC | SBS Swahili