Charlie "Mashabiki wa Bien watarajie bonge la tamasha"

Charlo ndani ya studio ya SBS

Wakaaji wa Sydney wana jiandaa kuhudhuria moja ya tamasha kubwa ya mwaka wa 2024, inayo andaliwa na kampuni ya Beast from the East Entertainment.


Charlie Mdogo ni Mkurugenzi wa kampuni ya Beast from the East. Kampuni hiyo ina andaa tamasha ya Bien, msanii wa zamani wa kundi la Sauti Sol.

Katika mahojiano maalum na SBS Swahili, Charlie Mdogo alifunguka kuhusu maandalizi ya tamasha hiyo pamoja na kile ambacho wapenzi wa muziki wa Afrika wana stahili tarajia usiku wa Jumamosi 4 Mei 2024 ndani ya ukumbi wa Metro Theatre mjini Sydney, Australia.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Charlie "Mashabiki wa Bien watarajie bonge la tamasha" | SBS Swahili