David "Kupoteza wanachama 3 ndani ya siku 10 imekuwa pigo kubwa sana kwetu"

Jamaa wa Ian wafika katika sehemu ambako mpendwa wao aliagia dunia.jpg

Jumuia yawa Kenya wanao ishi Victoria, ina omboleza vifo vya wanachama watatu walio aga dunia ndani ya siku 10.


David Kamande ni Mwenyekiti wa shirika la Men Cave Forum jimboni Victoria, alipo zungumza na SBS Swahili alifunguka kuhusu pigo ambalo jumuiya yake imepata kupitia taarifa hizo zaku sikitisha.

Kwa taarifa na maelezo zaidi kuhusu jumuiya yawa Kenya wanao ishi Victoria, bonyeza hapa: www.kcv.org.au

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service