Dj Mozz "Nataka kipaji changu kinifikishe katika tamasha zakimataifa"

Dj Mozz akiwa kazini.jpg

Dj Mozz ni mmoja wa vijana, wenye jina kubwa katika sekta ya burudani nchini Australia.


Dj Mozz hualikwa katika vilabu, tamasha na matukio mbali mbali ambako kipaji chake huchangia kuleta raha na starehe kwa wanao hudhuria hafla hizo.

Alipo tembelea SBS Swahili, alifunguka kuhusu alivyo ingia katika sekta hiyo, umuhimu wa wazazi kuwapa watoto fursa yakufuta ndoto zao pamoja na changamoto za kazi yake.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Dj Mozz "Nataka kipaji changu kinifikishe katika tamasha zakimataifa" | SBS Swahili