Iyanii "fahari yangu imekuwa kubadilisha maisha ya wazazi wangu"

Iyanii, msanii wa kizazi kipya kutoka Kenya

Iyanii ni msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Kenya, anaye zidi kuwa maarufu kila kukicha.


Alipo zungumza na SBS Swahili mjini Sydney, Australia, Iyanii alifunguka kuhusu alivyo ingia katika sekta ya muziki, kinacho shawishi utunzi wa nyimbo zake pamoja na mapokezi aliyo pata.

Alifunguka pia kuhusu kazi anazo jiandaa kuachia, pamoja na tamasha ambazo ame alikwa ndani na nje ya Kenya.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service