Je uchaguzi wa uongozi uta sababisha mpasuko ndani ya CHADEMA

Viongozi wa CHADEMA, Tundu Lissu (kushoto) na Freeman Mbowe (kulia) wasalimiana.jpg

Wanachama wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA, wanasalia na takriban wiki mbili kuingia debeni kumchagua kiongozi mpya.


Wagombea wakuu wa wadhifa huo ni mweyekiti wa sasa Freeman Mbowe, na naibu wake Tundu Lissu.

Katika kampeni zake Bw Lissu ame omba uchaguzi huo unao tarajiwa kufanywa 21 Januari, uwe na waangalizi wa ndani na wa kimataifa.

Uchaguzi huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkali, kati ya wagombea wawili wenye umaarufu na uvutio mkubwa.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Je uchaguzi wa uongozi uta sababisha mpasuko ndani ya CHADEMA | SBS Swahili