Jeff "unaweza dhani ume mdhuru mtu mmoja tu, kumbe ume waathiri wengi zaidi"

Jeff akiwa katika uzinduzi wa Baho.jpg

Hadithi halisi za wahanga wa mauaji ya 1994 nchini Rwanda, zime zinduliwa katika jumba la sanaa mjini.


Kazi hiyo ilifanywa kwa ushirikiano kati ya mashirika ya Thinkerbell na Kwumva & Kwibuka, ambayo yali shirikiana kuandaa maonyesho ya ustahimilivu kupitia picha na video.

Bw Jeff Budodi ni mkaaji wa Sydney, katika mazungumzo na SBS Swahili alifunguka kuhusu aliyo shuhudia na manufaa yake kwa jamii pana.

Anwani ya maonesho hayo ni 107 Redfern Street, Redfern NSW 2016, na kwa taarifa zaidi kuhusu shirika la Kunva & Kwibuka bofya hapa: www.kumkwi.org

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Jeff "unaweza dhani ume mdhuru mtu mmoja tu, kumbe ume waathiri wengi zaidi" | SBS Swahili