Kinyua "tumekuja kuomboleza walio uawa katika maandamano Kenya"

Wakenya watoa hisia zao kuhusu maandamano yanayo endelea nchini kwao, mbele ya ubalozi wa Kenya mjini Canberra.jfif

Wakenya wanao ishi Canberra, Australia walijumuika mbele ya ubalozi wa nchi yao kuonesha mshikamano na vijana wenzao.


Bw Kinyua alikuwa miongoni mwa wanajumuiya walio hudhuria tukio hilo mbele ya ubalozi wa Kenya katika mji mkuu wa Australia.

Alipozungumza na SBS Swahili, alifunguka kuhusu kilicho mshawishi kushiriki katika tukio hilo pamoja na matarajio yake.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Kinyua "tumekuja kuomboleza walio uawa katika maandamano Kenya" | SBS Swahili