Kisimba "tuta furahi sana kuona Icon wetu hapa Sydney"

Koffi Olomide akutana na wanyama wa Australia.jpg

Mfalme wa muziki wa DR Congo Koffi Olomide ame anza ziara ya tamasha Australia.


Ziara hiyo itampeleka katika miji mikubwa yamajimbo ya Australia ambako maelfu ya wapenzi wa muziki wake wanamsuburi kwa hamu.

Bw Isaac Kisimba ni Naibu Rais wa Jumuiya yawatu kutoka DR Congo wanao ishi mjini Sydney, Australia. Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili alifunguka kuhusu ujio wa Bw Koffi nchini Australia na matarajio ya mapokezi yake mjini Sydney.

Mamia yawana jumuiya wata jumuika katika ukumbi wa Replay Lounge,1/462 Chapel Rd, Bankstown NSW 2200 kwa bonge la tamasha. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Kisimba "tuta furahi sana kuona Icon wetu hapa Sydney" | SBS Swahili