Kiwango cha tisho la ugaidi cha ongezwa kutoka "uwezekano" hadi "kuwezekana"

ANTHONY ALBANESE TERRORISM THREAT LEVEL PRESSER-

Australian Prime Minister Anthony Albanese (left) and ASIO Director-General Mike Burgess speak during a press conference at Parliament House in Canberra, Monday, August 5, 2024. (AAP Image/Lukas Coch) NO ARCHIVING Source: AAP / LUKAS COCH/AAPIMAGE

Kiwango cha tisho la ugaidi cha Australia kime ongezwa kwa mara ya kwanza katika muongo.


Shirika la ujasusi la taifa limesema hayo ni matokeo ya anuai ya itakadi kali pamoja na ongezeko la vurugu zinazo chochewa na siasa.

Kuna ongezeko ya hofu ya misimamo mikali na itikadi zakidini kote duniani.

Ila, serikali ya Australia sasa inasema hali hiyo imefikia kiwango chako hatarisha usalama wa taifa.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service