Konje "walicho tumia kutuomba kura ndicho wanatumia kufanya maisha yawe ngumu"

BK.jpg

Muswada wa fedha wa 2024 nchini Kenya, umevutia upinzani mkubwa kutoka wakenya wanao ishi Australia.


Konje ni miongoni mwa wakenya wanao ishi Australia, alipozungumza na SBS Swahili alifunguka kuhusu motisha yaku jiunga na wanachama wenza wa jumuiya yake kuweka wazi upinzani wao kwa muswada wa fedha wa 2024.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Konje "walicho tumia kutuomba kura ndicho wanatumia kufanya maisha yawe ngumu" | SBS Swahili