Mahakama yazima ndoto ya Edgar Lungu

Rais mstaafu wa Zambia Edgar Chagwa Lungu.jpg

Mahakama ya katiba ya Zambia imesikiza ombi la Rais mstaafu wa Zambia, Edgar Chagwa Lungu lakupewa ruhusa yakuwania urais wa taifa hilo.


Licha yaku ingia mahakamani akiwa na matumaini yakupata hukumu nzuri kwa kesi yake, Bw Lungu na wafuasi wake wame elezea masikitiko yao kwa uamuzi wa mahakama hiyo kumzuia kuwania wadhifa wake wa zamani.

Katika hukumu yake mahakama ilisema Bw Lungu hastahiki kuwania urais wa Zambia kwa sababu ame hudumu tayari kwa mihula miwili. Mhula wakwanza ukihesabiwa kuanza 2015-2016 baada ya Bw Lungu kurithi wadhifa huo kutoka hayati Michael Sata aliye aga dunia akiwa madarakani.

Mahakama imesema muhula wa pili wa Bw Lungu uli anza Septemba 2016 hadi Agosti 2021.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service