Matt "wakenya hawataki Gachagua aondolewe mamlakani"

Bw Matt Gitau.jpg

Wikendi iliyopita wakenya wanao ishi Sydney, New South Wales walijumuika katika kitongoji cha Chester Hill kwa mkutano maalum.


Baadhi ya mada zilizo jadiliwa ni ustawi na maslahi ya wanafunzi wakimataifa, pendekezo la mabadiliko kwa viza za wanafunzi na jinsi yakupata huduma kutoka kwa mawakala wa uhamiaji na ubalozi wa Kenya mjini Canberra.

Bw Matt alikuwa katika kamati ya waandalizi wa mkutano huo, na punde baada ya mkutano kukamilika alifunguka kuhusu maandalizi pamoja na maswala ya kisiasa nchini Kenya ambako zoezi la kumtimua mamlakani, makamu wa rais Rigathi Gachagua lina endelea kwa kina.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Matt "wakenya hawataki Gachagua aondolewe mamlakani" | SBS Swahili