Mercy"Tunatazamia kupokea huduma bora kutoka kwa balozi wetu"

Mercy na Wakili Chiry nje ya ukumbi wa Chester Hill.jpg

Viongozi wa shirika la Kenyans in Sydney Welfare Association kwa ushirikiano na mashirika mengine yawakenya wanao ishi mjini Sydney wali andaa kongamano la wanafunzi.


Mgeni mkuu wa kongamano hilo alikuwa Balozi wa Kenya nchini Australia Mhe Dr Wilson Kogo.

Punde baada ya kongamano hilo SBS Swahili ilizungumza na Bi Mercy pamoja na Wakili Chiry ambao ni miongoni mwa waandalizi wa kongamano.

Wawili hao walifunguka kuhusu maswala kadhaa yanayo waathiri wanajumuia wao pamoja nakutueleza matarajio yao kutoka kwa Balozi mpya Mhe Dr Kogo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mercy"Tunatazamia kupokea huduma bora kutoka kwa balozi wetu" | SBS Swahili