Mgomo wamadaktari wa tikisa sekta ya matibabu Kenya

child

Source: Getty / Getty Images/Fly View Productions

Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDU) ulizindua mgomo wa kitaifa ukitaka mazingira bora ya kazi na nyongeza ya mishahara Machi 13.


Wiki jana mahakama iliamuru kusitishwa kwa mgomo huo na kutaka mazungumzo yafanyike, lakini KMPDU ilitangaza kwamba itaendeleza hatua yake.

Madaktari hao wanapinga hasa uamuzi wa serikali unaolenga, kupunguza mishahara ya wahudumu wa afya na kurudisha nyuma umri wa kustahiki haki za kustaafu.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mgomo wamadaktari wa tikisa sekta ya matibabu Kenya | SBS Swahili