Mh JP Mwirigi "ili nchi ipate heshima yake, kuna miundombinu lazima ijenge"

Mh John Paul Mwirigi akizungumza na SBS Swahili.jpg

Maamuzi ya utoaji wa kandarasi ya ukarabati ya baadhi ya miundombinu, yame iweka serikali ya Kenya chini ya shinikizo kubwa hivi karibuni.


Vijana na watu wazima wame ikosoa serikali yao na hata kushiriki katika maandamano, yaliyo fanya serikali ibatilishe maamuzi yake.

Alipo zungumzia swala hili, Mh John Paul Mwirigi kutoka Igembe Kusini, alifunguka kuhusu msimamo wa wabunge kuunga mkono pendekezo za serikali kwa utoaji wa kandarasi za ukarabati, licha ya upinzani kutoka kwa wananchi.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service