Mh JP Mwirigi "nili ota nina soma muswada bungeni"

Mh John Paul Mwirigi katika studio za SBS.jpg

Mh John Paul Mwirigi ana nafasi yakipekee katika vitabu vya kumbukumbu ya bunge la Kenya.


Yeye ndiye mwenye rekodi yakuwa na umri mdogo zaidi (23) kuchaguliwa kuwa mbunge katika historia ya kenya.

Mh Mwirigi alitembelea Studio za SBS Swahili baada yaku kamilisha majukumu yake katika kongamano la bunge za jumuiya zamadola mjini Sydney, Australia.

Alifunguka kuhusu maisha yake kabla ya kuwania ubunge katika eneo bunge lake la Igembe Kusini.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mh JP Mwirigi "nili ota nina soma muswada bungeni" | SBS Swahili