Phylis "naomba wakenya wadumishe amani na viongozi wasikize maoni yetu"

Rais Ruto azungumza na taifa baada ya baadhi ya waandamanaji kuvamia bunge la Kenya..jpg

Maandamano ya vijana yanayo endelea Kenya, yame zua hisia mseto katika jamii.


Wakenya wanao ishi Australia wame kuwa wakifuatilia matukio yanayo endelea nchini kwao kwa kina.

Bi Phylis ni mkaaji wa Adelaide, Kusini Australia. katika mazungumzo na SBS Swahili kuhusu maandamano yanayo endelea nchini kwao, alichangia ushauri wake kwa viongozi na vijana wenza.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service