Prof Chacha "kuendelea kuahirisha uchaguzi hakuta leta amani au mafanikio Sudan Kusini"

The President of South Sudan Salva Kiir (R) and the rebel leader Riek Machar (L)

Source: AAP

Kwa mara nyingine uchaguzi mkuu wa Sudan Kusini ume ahirishwa hadi Disemba 2026.


Serikali ime dai miongoni mwa sababu zaku ahirisha uchaguzi mkuu ni kukosekana kwa maandalizi.

Prof Chacha Nyaigoti Chacha ni mtaalam wa diplomasia na mchanganuzi wa siasa ya Afrika Mashariki.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alifunguka kuhusu masaibu yaki demokrasia ambayo raia wa Sudan Kusini wana kabili.

Bonyeza hapo juu kwa makala kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Prof Chacha "kuendelea kuahirisha uchaguzi hakuta leta amani au mafanikio Sudan Kusini" | SBS Swahili