Prof Chacha "mtu ambaye amekuwa katika hali ya uchochore hawezi mkashifu anaye msaidia"

Kongamano la China na Nchi za Afrika

China's President Xi Jinping, center, and African leaders prepare for a group photo during the Forum on China-Africa Cooperation (FOCAC) summit at the Great Hall of the People in Beijing, Thursday, Sept. 5, 2024 Credit: ADEK BERRY/AP/AAP Image

Nchi kadhaa barani Afrika zina endelea kuongeza ushirikiano na China, ambayo kwa upande wayo ina toa zawadi mbali mbali kwa nchi hizo.


Profesa Chacha Nyaogoti Chacha ni mtaalam wa diplomasia barani Afrika, katika mahojiano na SBS Swahili alizungumzia uhusiano kati ya China na nchi za bara la Afrika.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Prof Chacha "mtu ambaye amekuwa katika hali ya uchochore hawezi mkashifu anaye msaidia" | SBS Swahili