Prof Chacha"nchi za Afrika zinastahili tambua jumuiya yaki mataifa hai ongelei tena maswala yao"

SOUTH AFRICA BRICS SUMMIT

Indian Prime Minister Narendra Modi, South African President Cyril Ramaphosa and Chinese President Xi Jinping attend a meeting during the 15th BRICS Summit, in Johannesburg, South Africa, 24 August 2023. Credit: MARCO LONGARI / POOL/EPA / AAPImage

Nchi kadhaa barani Afrika zina endelea kukabiliana na vita vya wenyewe kwa wenyewe.


Hali hiyo ina endelea kuzua wasiwasi kuhusu hatma ya mahusiano kati ya baadhi ya nchi hizo na washirika wao wakimataifa.

Alipo zungumzia hoja hiyo, mtalaam wa maswala ya diplomasia barani Afrika, Prof Chacha ali onya kuhusu jinsi maswala ya Afrika yana endelea kukosa kipaumbele miongoni mwa jumuiya yakimataifa.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Prof Chacha"nchi za Afrika zinastahili tambua jumuiya yaki mataifa hai ongelei tena maswala yao" | SBS Swahili