Sekta ya elimu ya juu yasema wanafunzi wakimataifa wamekuwa 'lishe ya mzinga' katika mjadala wa uhamiaji

Group of college grads

College friends have serious conversation after the graduation ceremony. Credit: SDI Productions/Getty Images

Idadi ya wanafunzi wakimataifa itawekewa vikomo mwaka ujao, serikali inapojaribu kupunguza uhamiaji wa ng’ambo.


Waziri wa Elimu Jason Clare amesema hatua hiyo ita leta usawa zaidi katika sekta ya elimu yakimataifa ila, vyuo vingi vime pinga mpango huo.

Kwa ujumla, idadi ya wanafunzi 270,000 wataweza anza kusomea nchini Australia katika mwaka wa 2025.

Kutakuwa nafasi 145,000 katika vyuo vikuu vinavyo fadhiliwa na umma, sawia na viwango vya 2023 wakati sekta ya elimu ya ufundi itapungua kwa asilimia 20 kwa viwango vya kabla, na vitasalia na nafasi 95,000.

The Group of Eight, ni kundi linalo jumuisha vyuo vya Australia vinavyo fanya utafiti wa kina, vimesema vinakadiria kutakuwa mkato wa 30% katika nafasi za taasisi zote mwaka ujao na wame tumia wanafunzi wengi tayari mialiko yaku jisajili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Sekta ya elimu ya juu yasema wanafunzi wakimataifa wamekuwa 'lishe ya mzinga' katika mjadala wa uhamiaji | SBS Swahili