Sekta ya vyuo yadai wanafunzi wakimataifa wanatumiwa kama "mpira" wakisiasa

University graduates

University graduates, Photo credit should read: Chris Ison/PA Wire Source: Press Association

Vyuo na biashara vina fanya kampeni ya ushawishi dhidi ya sheria zenye utata, kuweka idadi ya wanafunzi wa kimataifa kuanzia mwaka ujao.


Wame sema muswada huo ni "sera iliyo harakishwa" na "ni kifaa chaku badilisha mwelekeo wakisiasa".

Ila, serikali imesema mageuzi yana hitajika kuwazuia watu kutumia viza za wanafunzi kama mlango wa nyuma wakubaki Australia.

Onyo dhidi yakuweka vikomo kwa nafasi za wanafunzi wakimataifa zinasema mageuzi yanaweza hatarisha maelfu ya ajira, pamoja na kukandamiza sana juhudi za utafiti wa vyuo vikuu.

Rasimu ya muswada iliyo tangazwa mnamo Mei na waziri wa elimu Jason Clare, inaweza mpa mamlaka yakuweka idadi ya mwisho ya usajili wa wanafunzi wakimataifa kwa masomo na watoaji.

Wataalam wa sera walikosoa pendekezo hilo waki liita "kichocheo cha machafuko'.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Sekta ya vyuo yadai wanafunzi wakimataifa wanatumiwa kama "mpira" wakisiasa | SBS Swahili