Steve "Na amini naweza kuwa kiongozi bora"

Steve Kemei mgombea huru wa wadhifa wa Naibu Rais katika uchaguzi wa chuo cha ECU.jpg

Wanafunzi wa chuo cha ECU mjini Perth wana ingia debeni kuwachagua viongozi wao wapya.


Steve Kemei anawania wadhifa wa Naibu Rais wa wanafunzi wakimataifa katika chuo hicho.

Katika mahojiano na SBS Swahili, aliweka wazi motisha yaku wania wadhifa huo pamoja na atakavyo ongoza tofauti na watangulizi wake iwapo ata fanikiwa kushinda uchaguzi huo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service