Vital Kamerhe achaguliwa kuwa spika mpya wa bunge la DRC

Democratic Republic of Congo politician Vital Kamerhe.

Democratic Republic of Congo politician Vital Kamerhe. Source: AFP

Wabunge wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamemchagua Vital Kamerhe, ambaye nyumba yake ilishambuliwa siku ya Jumapili, kuwa spika mpya.


Hatua hiyo ni muhimu kuelekea kuweka serikali miezi mitano baada ya uchaguzi wa rais.

Mandishi wetu Jason Nyakundi ame andaa taarifa maalum kuhusu uchaguzi huo pamoja na maswala mengine muhimu kutoka Afrika.

Bonyeza hapo juu kwa taarima kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service