Wafanyakazi wapato la chini kuongezewa mishahara kuanzia Julai 1

minimum wage

Source: Getty / Getty Images

Ma milioni yawa Australia watapata nyongeza ya asilimia 3.75 kwa mshahara wao.


Tume ya Haki ya kazi iliamua kuongeza mishahara ya tuzo chini ya mfumuko wa bei, ambayo ilikuwa kwa asilimia 4.1 katika mwisho wa robo ya Aprili.

Kwa ma milioni yawa Australia, mishahara yao huwa haibadilishwi na bosi wao, uamuzi huo hufanywa na Tume ya Haki ya Kazi. Mapitio ya kila mwaka ya mishahara hubadilisha mishahara ya tuzo, ambayo husimamia kiwango cha chini cha mishahara kwa kila kazi na sekta.

Kuanzia Julai 1k, mishahara ya tuzo na kima cha chini cha mishahara itaongezeka kwa asilimia 3.75

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service