Wakenya wafunguka kuhusu visa vya utekaji nyara

Inspekta Jenerali wa Polisi wa Kenya Douglas Kanja, akiwa pamoja na viongozi wenzake

Vyombo vya usalama nchini Kenya vina endelea kushtumiwa kwa visa vya utekaji nyara.


Hata hivyo, viongozi wa vyombo vya madola nchini humo, wame kana shutma hizo waki dai hawajui wanao fanya utekaji nyara huo pamoja na sehemu mateka husika walipo.

Katika mahojiano maalum, SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya wakenya wanao ishi Australia walio funguka kuhusu visa hivyo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wakenya wafunguka kuhusu visa vya utekaji nyara | SBS Swahili