Watu saba wauawa kwa shambulizi la bomu Mkoani Kalehe DRC

Refugees flee  fighting near Goma, Eastern Congo DRC (AAP)

Refugees flee fighting near Goma, Eastern Congo DRC (AAP) Source: AAP

Hali ya usalama inaendelea kuwa mbaya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.


Katika kijiji kinacho pakana na jimbo la Kivu Kaskazini, watu saba wali uawa na wengine sita kujeruhiw vibaya usiku wa kuamkia Jumatano kufuatia mashambulizi ya mabomu.

Jospin Magambo ni katibu wa ofisi ya mamlaka ya serikali katika eneo la Minova wilayahi Kalehe.

Amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na anakumbusha matukio mengine ya mashambulizi ya mabomu huko Minova, hali ambayo inaongeza wasiwasi kwa raia.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service